Al-Humaza · 3/9
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Humaza
يَحْسَبُ أَنَّ مَالَهُ أَخْلَدَهُ ۝٣
Yahsabu anna maalahu akhladah
📖 Kwa Kiswahili
Anadhani ya kuwa mali yake yatambakisha milele!

🎧 Sikiliza


📜 Aya 1-5 — Al-Humaza

1وَيْلٌ لِّكُلِّ هُمَزَةٍ لُّمَزَةٍ
Ole wake kila safihi, msengenyaji!
2الَّذِي جَمَعَ مَالًا وَعَدَّدَهُ
Aliye kusanya mali na kuyahisabu.
3يَحْسَبُ أَنَّ مَالَهُ أَخْلَدَهُ
Anadhani ya kuwa mali yake yatambakisha milele!
4كَلَّا ۖ لَيُنبَذَنَّ فِي الْحُطَمَةِ
Hasha! Atavurumishwa katika H'ut'ama.
5وَمَا أَدْرَاكَ مَا الْحُطَمَةُ
Na nani atakujuvya ni nini H'ut'ama?
Al-HumazaFaharasa ya Qurani
9Aya
MakkaRevelation
3Aya

Tafsiri — Al-Humaza 3

Sura Al-Humaza Aya 3 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Anadhani ya kuwa mali yake yatambakisha milele!

Sura Aya 3/9 — Al-Humaza الهمزة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Humaza Sikiliza, Al-Humaza Tafsiri, Al-Humaza mp3, Al-Humaza pdf. Aya 1–5. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema