Taha · 36/135
Tafsiri Uandishi wa sauti — Taha
قَالَ قَدْ أُوتِيتَ سُؤْلَكَ يَا مُوسَىٰ ۝٣٦
Qaala qad ooteeta su`laka yaa Moosaa
📖 Kwa Kiswahili
Akasema: Hakika Umepewa maombi yako, ewe Musa!
🎧 Sikiliza

📜 Aya 34-38 — Taha

34وَنَذْكُرَكَ كَثِيرًا
Na tukukumbuke sana.
35إِنَّكَ كُنتَ بِنَا بَصِيرًا
Hakika Wewe unatuona.
36قَالَ قَدْ أُوتِيتَ سُؤْلَكَ يَا مُوسَىٰ
Akasema: Hakika Umepewa maombi yako, ewe Musa!
37وَلَقَدْ مَنَنَّا عَلَيْكَ مَرَّةً أُخْرَىٰ
Na hakika tulikwisha kufanyia hisani mara nyengine...
38إِذْ أَوْحَيْنَا إِلَىٰ أُمِّكَ مَا يُوحَىٰ
Pale tulipo mfunulia mama yako yaliyo funuliwa,
TahaFaharasa ya Qurani
135Aya
MakkaRevelation
36Aya

Tafsiri — Taha 36

Sura Taha Aya 36 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Akasema: Hakika Umepewa maombi yako, ewe Musa!

Sura Aya 36/135 — Taha طه (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Taha Sikiliza, Taha Tafsiri, Taha mp3, Taha pdf. Aya 34–38. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema