Taha · 37/135
Tafsiri Uandishi wa sauti — Taha
وَلَقَدْ مَنَنَّا عَلَيْكَ مَرَّةً أُخْرَىٰ ۝٣٧
Wa laqad manannaa `alaika marratan ukhraaa
📖 Kwa Kiswahili
Na hakika tulikwisha kufanyia hisani mara nyengine...

🎧 Sikiliza


📜 Aya 35-39 — Taha

35إِنَّكَ كُنتَ بِنَا بَصِيرًا
Hakika Wewe unatuona.
36قَالَ قَدْ أُوتِيتَ سُؤْلَكَ يَا مُوسَىٰ
Akasema: Hakika Umepewa maombi yako, ewe Musa!
37وَلَقَدْ مَنَنَّا عَلَيْكَ مَرَّةً أُخْرَىٰ
Na hakika tulikwisha kufanyia hisani mara nyengine...
38إِذْ أَوْحَيْنَا إِلَىٰ أُمِّكَ مَا يُوحَىٰ
Pale tulipo mfunulia mama yako yaliyo funuliwa,
39أَنِ اقْذِفِيهِ فِي التَّابُوتِ فَاقْذِفِيهِ فِي الْيَمِّ فَلْيُلْقِهِ الْيَمُّ بِالسَّاحِلِ يَأْخُذْهُ عَدُوٌّ لِّي وَعَدُوٌّ لَّهُ ۚ وَأَلْقَيْتُ عَلَيْكَ مَحَبَّةً مِّنِّي وَلِتُصْنَعَ عَلَىٰ عَيْنِي
Ya kuwa mtie katika kisanduku, na kisha kitie mtoni, na mto utamfikisha ufukweni. Atamchukua adui yangu naye ni adui yake. Na nimekutilia mapenzi yanayo tokana kwangu, na ili ulelewe machoni mwangu.
TahaFaharasa ya Qurani
135Aya
MakkaRevelation
37Aya

Tafsiri — Taha 37

Sura Taha Aya 37 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na hakika tulikwisha kufanyia hisani mara nyengine...

Sura Aya 37/135 — Taha طه (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Taha Sikiliza, Taha Tafsiri, Taha mp3, Taha pdf. Aya 35–39. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Wednesday, August 19, 2026

Usitusahau katika dua zako njema