Al-Mu'minun · 8/118
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Mu'minun
وَالَّذِينَ هُمْ لِأَمَانَاتِهِمْ وَعَهْدِهِمْ رَاعُونَ ۝٨
Wallazeena hum li amaanaatihim wa `ahdihim raa`oon
📖 Kwa Kiswahili
Na ambao wanazitimiza amana zao na ahadi zao,
🎧 Sikiliza

📜 Aya 6-10 — Al-Mu'minun

6إِلَّا عَلَىٰ أَزْوَاجِهِمْ أَوْ مَا مَلَكَتْ أَيْمَانُهُمْ فَإِنَّهُمْ غَيْرُ مَلُومِينَ
Isipo kuwa kwa wake zao au kwa iliyo wamiliki mikono yao ya kulia. Kwani hao si wenye kulaumiwa.
7فَمَنِ ابْتَغَىٰ وَرَاءَ ذَٰلِكَ فَأُولَٰئِكَ هُمُ الْعَادُونَ
Lakini anaye taka kinyume cha haya, basi hao ndio warukao mipaka.
8وَالَّذِينَ هُمْ لِأَمَانَاتِهِمْ وَعَهْدِهِمْ رَاعُونَ
Na ambao wanazitimiza amana zao na ahadi zao,
9وَالَّذِينَ هُمْ عَلَىٰ صَلَوَاتِهِمْ يُحَافِظُونَ
Na ambao Sala zao wanazihifadhi -
10أُولَٰئِكَ هُمُ الْوَارِثُونَ
Hao ndio warithi,
Al-Mu'minunFaharasa ya Qurani
118Aya
MakkaRevelation
8Aya

Tafsiri — Al-Mu'minun 8

Sura Al-Mu'minun Aya 8 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na ambao wanazitimiza amana zao na ahadi zao,

Sura Aya 8/118 — Al-Mu'minun المؤمنون (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Mu'minun Sikiliza, Al-Mu'minun Tafsiri, Al-Mu'minun mp3, Al-Mu'minun pdf. Aya 6–10. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema