Al-Mu'minun · 9/118
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Mu'minun
وَالَّذِينَ هُمْ عَلَىٰ صَلَوَاتِهِمْ يُحَافِظُونَ ۝٩
Wallazeena hum `alaa Salawaatihim yuhaafizoon
📖 Kwa Kiswahili
Na ambao Sala zao wanazihifadhi -
🎧 Sikiliza

📜 Aya 7-11 — Al-Mu'minun

7فَمَنِ ابْتَغَىٰ وَرَاءَ ذَٰلِكَ فَأُولَٰئِكَ هُمُ الْعَادُونَ
Lakini anaye taka kinyume cha haya, basi hao ndio warukao mipaka.
8وَالَّذِينَ هُمْ لِأَمَانَاتِهِمْ وَعَهْدِهِمْ رَاعُونَ
Na ambao wanazitimiza amana zao na ahadi zao,
9وَالَّذِينَ هُمْ عَلَىٰ صَلَوَاتِهِمْ يُحَافِظُونَ
Na ambao Sala zao wanazihifadhi -
10أُولَٰئِكَ هُمُ الْوَارِثُونَ
Hao ndio warithi,
11الَّذِينَ يَرِثُونَ الْفِرْدَوْسَ هُمْ فِيهَا خَالِدُونَ
Ambao watairithi Pepo ya Firdausi, wadumu humo.
Al-Mu'minunFaharasa ya Qurani
118Aya
MakkaRevelation
9Aya

Tafsiri — Al-Mu'minun 9

Sura Al-Mu'minun Aya 9 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na ambao Sala zao wanazihifadhi -

Sura Aya 9/118 — Al-Mu'minun المؤمنون (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Mu'minun Sikiliza, Al-Mu'minun Tafsiri, Al-Mu'minun mp3, Al-Mu'minun pdf. Aya 7–11. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema