Ad-Dukhan · 11/59
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ad-Dukhan
يَغْشَى النَّاسَ ۖ هَٰذَا عَذَابٌ أَلِيمٌ ۝١١
Yaghshan naasa haazaa `azaabun aleem
📖 Kwa Kiswahili
Utakao wafunika watu: Hii ni adhabu chungu!

🎧 Sikiliza


📜 Aya 9-13 — Ad-Dukhan

9بَلْ هُمْ فِي شَكٍّ يَلْعَبُونَ
Lakini wao wanacheza katika shaka.
10فَارْتَقِبْ يَوْمَ تَأْتِي السَّمَاءُ بِدُخَانٍ مُّبِينٍ
Basi ingoje siku ambayo mbingu zitakapo leta moshi ulio dhaahiri,
11يَغْشَى النَّاسَ ۖ هَٰذَا عَذَابٌ أَلِيمٌ
Utakao wafunika watu: Hii ni adhabu chungu!
12رَّبَّنَا اكْشِفْ عَنَّا الْعَذَابَ إِنَّا مُؤْمِنُونَ
Mola wetu Mlezi! Tuondolee adhabu hii. Hakika tutaamini.
13أَنَّىٰ لَهُمُ الذِّكْرَىٰ وَقَدْ جَاءَهُمْ رَسُولٌ مُّبِينٌ
Nini faida ya kukumbuka kwao? Na alikwisha wafikia Mtume mwenye kubainisha.
Ad-DukhanFaharasa ya Qurani
59Aya
MakkaRevelation
11Aya

Tafsiri — Ad-Dukhan 11

Sura Ad-Dukhan Aya 11 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Utakao wafunika watu: Hii ni adhabu chungu!

Sura Aya 11/59 — Ad-Dukhan الدخان (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ad-Dukhan Sikiliza, Ad-Dukhan Tafsiri, Ad-Dukhan mp3, Ad-Dukhan pdf. Aya 9–13. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema