At-Tur · 34/49
Tafsiri Uandishi wa sauti — At-Tur
فَلْيَأْتُوا بِحَدِيثٍ مِّثْلِهِ إِن كَانُوا صَادِقِينَ ۝٣٤
Falyaatoo bihadeesim misliheee in kaanoo saadiqeen
📖 Kwa Kiswahili
Basi nawalete masimulizi kama haya ikiwa wao wanasema kweli.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 32-36 — At-Tur

32أَمْ تَأْمُرُهُمْ أَحْلَامُهُم بِهَٰذَا ۚ أَمْ هُمْ قَوْمٌ طَاغُونَ
Au hizo akili zao ndio zinawaamrisha haya, au wao basi ni watu majeuri tu?
33أَمْ يَقُولُونَ تَقَوَّلَهُ ۚ بَل لَّا يُؤْمِنُونَ
Au ndio wanasema: Ameitunga hii! Bali basi tu hawaamini!
34فَلْيَأْتُوا بِحَدِيثٍ مِّثْلِهِ إِن كَانُوا صَادِقِينَ
Basi nawalete masimulizi kama haya ikiwa wao wanasema kweli.
35أَمْ خُلِقُوا مِنْ غَيْرِ شَيْءٍ أَمْ هُمُ الْخَالِقُونَ
Au wao wameumbwa pasipo kutokana na kitu chochote, au ni wao ndio waumbaji?
36أَمْ خَلَقُوا السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضَ ۚ بَل لَّا يُوقِنُونَ
Au wao wameziumba mbingu na ardhi? Bali hawana na yakini.
At-TurFaharasa ya Qurani
49Aya
MakkaRevelation
34Aya

Tafsiri — At-Tur 34

Sura At-Tur Aya 34 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Basi nawalete masimulizi kama haya ikiwa wao wanasema kweli.

Sura Aya 34/49 — At-Tur الطور (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: At-Tur Sikiliza, At-Tur Tafsiri, At-Tur mp3, At-Tur pdf. Aya 32–36. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema