Al-Qamar · 18/55
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Qamar
كَذَّبَتْ عَادٌ فَكَيْفَ كَانَ عَذَابِي وَنُذُرِ ۝١٨
Kazzabat `Aadun fakaifa kaana `azaabee wa nuzur
📖 Kwa Kiswahili
Kina A'di walikanusha. Basi ilikuwaje adhabu yangu na maonyo yangu?

🎧 Sikiliza


📜 Aya 16-20 — Al-Qamar

16فَكَيْفَ كَانَ عَذَابِي وَنُذُرِ
Basi ilikuwaje adhabu yangu, na maonyo yangu.
17وَلَقَدْ يَسَّرْنَا الْقُرْآنَ لِلذِّكْرِ فَهَلْ مِن مُّدَّكِرٍ
Na bila ya shaka Sisi tumeifanya Qur'ani iwe nyepesi kufahamika. Lakini yupo anaye kumbuka?
18كَذَّبَتْ عَادٌ فَكَيْفَ كَانَ عَذَابِي وَنُذُرِ
Kina A'di walikanusha. Basi ilikuwaje adhabu yangu na maonyo yangu?
19إِنَّا أَرْسَلْنَا عَلَيْهِمْ رِيحًا صَرْصَرًا فِي يَوْمِ نَحْسٍ مُّسْتَمِرٍّ
Hakika Sisi tuliwapelekea upepo wa kimbunga katika siku korofi mfululizo,
20تَنزِعُ النَّاسَ كَأَنَّهُمْ أَعْجَازُ نَخْلٍ مُّنقَعِرٍ
Ukiwang'oa watu kama vigogo vya mitende vilio ng'olewa.
Al-QamarFaharasa ya Qurani
55Aya
MakkaRevelation
18Aya

Tafsiri — Al-Qamar 18

Sura Al-Qamar Aya 18 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Kina A'di walikanusha. Basi ilikuwaje adhabu yangu na maonyo yangu?

Sura Aya 18/55 — Al-Qamar القمر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Qamar Sikiliza, Al-Qamar Tafsiri, Al-Qamar mp3, Al-Qamar pdf. Aya 16–20. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema