Al-Qamar · 21/55
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Qamar
فَكَيْفَ كَانَ عَذَابِي وَنُذُرِ ۝٢١
Fakaifa kaana `azaabee wa nuzur
📖 Kwa Kiswahili
Basi ilikuwaje adhabu yangu na maonyo yangu?

🎧 Sikiliza


📜 Aya 19-23 — Al-Qamar

19إِنَّا أَرْسَلْنَا عَلَيْهِمْ رِيحًا صَرْصَرًا فِي يَوْمِ نَحْسٍ مُّسْتَمِرٍّ
Hakika Sisi tuliwapelekea upepo wa kimbunga katika siku korofi mfululizo,
20تَنزِعُ النَّاسَ كَأَنَّهُمْ أَعْجَازُ نَخْلٍ مُّنقَعِرٍ
Ukiwang'oa watu kama vigogo vya mitende vilio ng'olewa.
21فَكَيْفَ كَانَ عَذَابِي وَنُذُرِ
Basi ilikuwaje adhabu yangu na maonyo yangu?
22وَلَقَدْ يَسَّرْنَا الْقُرْآنَ لِلذِّكْرِ فَهَلْ مِن مُّدَّكِرٍ
Na bila ya shaka Sisi tumeifanya Qur'ani nyepesi kufahamika; lakini yupo anaye kumbuka?
23كَذَّبَتْ ثَمُودُ بِالنُّذُرِ
Thamudi waliwakanusha Waonyaji.
Al-QamarFaharasa ya Qurani
55Aya
MakkaRevelation
21Aya

Tafsiri — Al-Qamar 21

Sura Al-Qamar Aya 21 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Basi ilikuwaje adhabu yangu na maonyo yangu?

Sura Aya 21/55 — Al-Qamar القمر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Qamar Sikiliza, Al-Qamar Tafsiri, Al-Qamar mp3, Al-Qamar pdf. Aya 19–23. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema