Al-Qamar · 20/55
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Qamar
تَنزِعُ النَّاسَ كَأَنَّهُمْ أَعْجَازُ نَخْلٍ مُّنقَعِرٍ ۝٢٠
Tanzi;un naasa ka anna huma`jaazu nakhlim munqa`ir
📖 Kwa Kiswahili
Ukiwang'oa watu kama vigogo vya mitende vilio ng'olewa.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 18-22 — Al-Qamar

18كَذَّبَتْ عَادٌ فَكَيْفَ كَانَ عَذَابِي وَنُذُرِ
Kina A'di walikanusha. Basi ilikuwaje adhabu yangu na maonyo yangu?
19إِنَّا أَرْسَلْنَا عَلَيْهِمْ رِيحًا صَرْصَرًا فِي يَوْمِ نَحْسٍ مُّسْتَمِرٍّ
Hakika Sisi tuliwapelekea upepo wa kimbunga katika siku korofi mfululizo,
20تَنزِعُ النَّاسَ كَأَنَّهُمْ أَعْجَازُ نَخْلٍ مُّنقَعِرٍ
Ukiwang'oa watu kama vigogo vya mitende vilio ng'olewa.
21فَكَيْفَ كَانَ عَذَابِي وَنُذُرِ
Basi ilikuwaje adhabu yangu na maonyo yangu?
22وَلَقَدْ يَسَّرْنَا الْقُرْآنَ لِلذِّكْرِ فَهَلْ مِن مُّدَّكِرٍ
Na bila ya shaka Sisi tumeifanya Qur'ani nyepesi kufahamika; lakini yupo anaye kumbuka?
Al-QamarFaharasa ya Qurani
55Aya
MakkaRevelation
20Aya

Tafsiri — Al-Qamar 20

Sura Al-Qamar Aya 20 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Ukiwang'oa watu kama vigogo vya mitende vilio ng'olewa.

Sura Aya 20/55 — Al-Qamar القمر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Qamar Sikiliza, Al-Qamar Tafsiri, Al-Qamar mp3, Al-Qamar pdf. Aya 18–22. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema