Ar-Rahman · 28/78
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ar-Rahman
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ۝٢٨
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
📖 Kwa Kiswahili
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
🎧 Sikiliza

📜 Aya 26-30 — Ar-Rahman

26كُلُّ مَنْ عَلَيْهَا فَانٍ
Kila kilioko juu yake kitatoweka.
27وَيَبْقَىٰ وَجْهُ رَبِّكَ ذُو الْجَلَالِ وَالْإِكْرَامِ
Na atabakia Mwenyewe Mola wako Mlezi Mwenye utukufu na ukarimu.
28فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
29يَسْأَلُهُ مَن فِي السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ ۚ كُلَّ يَوْمٍ هُوَ فِي شَأْنٍ
Vinamwomba Yeye vilivyomo katika mbingu na ardhi. Kila siku Yeye yumo katika mambo.
30فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
Ar-RahmanFaharasa ya Qurani
78Aya
MadinaRevelation
28Aya

Tafsiri — Ar-Rahman 28

Sura Ar-Rahman Aya 28 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo…

Sura Aya 28/78 — Ar-Rahman الرحمن (Madina). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ar-Rahman Sikiliza, Ar-Rahman Tafsiri, Ar-Rahman mp3, Ar-Rahman pdf. Aya 26–30. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema