Al-Qalam · 49/52
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Qalam
لَّوْلَا أَن تَدَارَكَهُ نِعْمَةٌ مِّن رَّبِّهِ لَنُبِذَ بِالْعَرَاءِ وَهُوَ مَذْمُومٌ ۝٤٩
Law laaa an tadaara kahoo ni`matum mir rabbihee lanubiza bil`araaa`i wa huwa mazmoom
📖 Kwa Kiswahili
Kama isingeli mfikia neema kutoka kwa Mola wake Mlezi, bila ya shaka angeli tupwa ufukweni naye ni mwenye kulaumiwa.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 47-51 — Al-Qalam

47أَمْ عِندَهُمُ الْغَيْبُ فَهُمْ يَكْتُبُونَ
Au iko kwao siri, basi wao wanaiandika?
48فَاصْبِرْ لِحُكْمِ رَبِّكَ وَلَا تَكُن كَصَاحِبِ الْحُوتِ إِذْ نَادَىٰ وَهُوَ مَكْظُومٌ
Basi ingojee hukumu ya Mola wako Mlezi, wala usiwe kama mmezwa na samaki, alipo nadi naye kazongwa.
49لَّوْلَا أَن تَدَارَكَهُ نِعْمَةٌ مِّن رَّبِّهِ لَنُبِذَ بِالْعَرَاءِ وَهُوَ مَذْمُومٌ
Kama isingeli mfikia neema kutoka kwa Mola wake Mlezi, bila ya shaka angeli tupwa ufukweni naye ni mwenye kulaumiwa.
50فَاجْتَبَاهُ رَبُّهُ فَجَعَلَهُ مِنَ الصَّالِحِينَ
Lakini Mola wake Mlezi alimteua na akamfanya miongoni mwa watu wema.
51وَإِن يَكَادُ الَّذِينَ كَفَرُوا لَيُزْلِقُونَكَ بِأَبْصَارِهِمْ لَمَّا سَمِعُوا الذِّكْرَ وَيَقُولُونَ إِنَّهُ لَمَجْنُونٌ
Na walio kufuru hukaribia kukutelezesha kwa macho yao, wanapo sikia mawaidha, na wanasema: Hakika yeye ni mwendawazimu.
Al-QalamFaharasa ya Qurani
52Aya
MakkaRevelation
49Aya

Tafsiri — Al-Qalam 49

Sura Al-Qalam Aya 49 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Kama isingeli mfikia neema kutoka kwa Mola wake Mlezi, bila…

Sura Aya 49/52 — Al-Qalam القلم (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Qalam Sikiliza, Al-Qalam Tafsiri, Al-Qalam mp3, Al-Qalam pdf. Aya 47–51. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema