Al-Qalam · 50/52
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Qalam
فَاجْتَبَاهُ رَبُّهُ فَجَعَلَهُ مِنَ الصَّالِحِينَ ۝٥٠
Fajtabaahu rabbuhoo faja`alahoo minas saaliheen
📖 Kwa Kiswahili
Lakini Mola wake Mlezi alimteua na akamfanya miongoni mwa watu wema.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 48-52 — Al-Qalam

48فَاصْبِرْ لِحُكْمِ رَبِّكَ وَلَا تَكُن كَصَاحِبِ الْحُوتِ إِذْ نَادَىٰ وَهُوَ مَكْظُومٌ
Basi ingojee hukumu ya Mola wako Mlezi, wala usiwe kama mmezwa na samaki, alipo nadi naye kazongwa.
49لَّوْلَا أَن تَدَارَكَهُ نِعْمَةٌ مِّن رَّبِّهِ لَنُبِذَ بِالْعَرَاءِ وَهُوَ مَذْمُومٌ
Kama isingeli mfikia neema kutoka kwa Mola wake Mlezi, bila ya shaka angeli tupwa ufukweni naye ni mwenye kulaumiwa.
50فَاجْتَبَاهُ رَبُّهُ فَجَعَلَهُ مِنَ الصَّالِحِينَ
Lakini Mola wake Mlezi alimteua na akamfanya miongoni mwa watu wema.
51وَإِن يَكَادُ الَّذِينَ كَفَرُوا لَيُزْلِقُونَكَ بِأَبْصَارِهِمْ لَمَّا سَمِعُوا الذِّكْرَ وَيَقُولُونَ إِنَّهُ لَمَجْنُونٌ
Na walio kufuru hukaribia kukutelezesha kwa macho yao, wanapo sikia mawaidha, na wanasema: Hakika yeye ni mwendawazimu.
52وَمَا هُوَ إِلَّا ذِكْرٌ لِّلْعَالَمِينَ
Na hayakuwa haya, ila ni ukumbusho kwa walimwengu wote.
Al-QalamFaharasa ya Qurani
52Aya
MakkaRevelation
50Aya

Tafsiri — Al-Qalam 50

Sura Al-Qalam Aya 50 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Lakini Mola wake Mlezi alimteua na akamfanya miongoni mwa watu…

Sura Aya 50/52 — Al-Qalam القلم (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Qalam Sikiliza, Al-Qalam Tafsiri, Al-Qalam mp3, Al-Qalam pdf. Aya 48–52. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema