Al-Haqqa · 32/52
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Haqqa
ثُمَّ فِي سِلْسِلَةٍ ذَرْعُهَا سَبْعُونَ ذِرَاعًا فَاسْلُكُوهُ ۝٣٢
Summa fee silsilatin zar`uhaa sab`oona ziraa`an faslukooh
📖 Kwa Kiswahili
Tena mtatizeni katika mnyororo wenye urefu wa dhiraa sabiini!
🎧 Sikiliza

📜 Aya 30-34 — Al-Haqqa

30خُذُوهُ فَغُلُّوهُ
(Pasemwe): Mshikeni! Mtieni pingu!
31ثُمَّ الْجَحِيمَ صَلُّوهُ
Kisha mtupeni Motoni!
32ثُمَّ فِي سِلْسِلَةٍ ذَرْعُهَا سَبْعُونَ ذِرَاعًا فَاسْلُكُوهُ
Tena mtatizeni katika mnyororo wenye urefu wa dhiraa sabiini!
33إِنَّهُ كَانَ لَا يُؤْمِنُ بِاللَّهِ الْعَظِيمِ
Kwani huyo hakika alikuwa hamuamini Mwenyezi Mungu Mtukufu,
34وَلَا يَحُضُّ عَلَىٰ طَعَامِ الْمِسْكِينِ
Wala hahimizi kulisha masikini.
Al-HaqqaFaharasa ya Qurani
52Aya
MakkaRevelation
32Aya

Tafsiri — Al-Haqqa 32

Sura Al-Haqqa Aya 32 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Tena mtatizeni katika mnyororo wenye urefu wa dhiraa sabiini!

Sura Aya 32/52 — Al-Haqqa الحاقة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Haqqa Sikiliza, Al-Haqqa Tafsiri, Al-Haqqa mp3, Al-Haqqa pdf. Aya 30–34. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema