Al-Haqqa · 33/52
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Haqqa
إِنَّهُ كَانَ لَا يُؤْمِنُ بِاللَّهِ الْعَظِيمِ ۝٣٣
Innahoo kaana laa yu`minubillaahil `Azeem
📖 Kwa Kiswahili
Kwani huyo hakika alikuwa hamuamini Mwenyezi Mungu Mtukufu,

🎧 Sikiliza


📜 Aya 31-35 — Al-Haqqa

31ثُمَّ الْجَحِيمَ صَلُّوهُ
Kisha mtupeni Motoni!
32ثُمَّ فِي سِلْسِلَةٍ ذَرْعُهَا سَبْعُونَ ذِرَاعًا فَاسْلُكُوهُ
Tena mtatizeni katika mnyororo wenye urefu wa dhiraa sabiini!
33إِنَّهُ كَانَ لَا يُؤْمِنُ بِاللَّهِ الْعَظِيمِ
Kwani huyo hakika alikuwa hamuamini Mwenyezi Mungu Mtukufu,
34وَلَا يَحُضُّ عَلَىٰ طَعَامِ الْمِسْكِينِ
Wala hahimizi kulisha masikini.
35فَلَيْسَ لَهُ الْيَوْمَ هَاهُنَا حَمِيمٌ
Basi leo hapa hana jamaa wa kumwonea uchungu,
Al-HaqqaFaharasa ya Qurani
52Aya
MakkaRevelation
33Aya

Tafsiri — Al-Haqqa 33

Sura Al-Haqqa Aya 33 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Kwani huyo hakika alikuwa hamuamini Mwenyezi Mungu Mtukufu,

Sura Aya 33/52 — Al-Haqqa الحاقة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Haqqa Sikiliza, Al-Haqqa Tafsiri, Al-Haqqa mp3, Al-Haqqa pdf. Aya 31–35. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema