Al-Ma'arij · 2/44
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Ma'arij
لِّلۡكَٰفِرِينَ لَيۡسَ لَهُۥ دَافِعٌ  ۝٢
Lilkaafireen laisa lahoo daafi
📖 Kwa Kiswahili
Kwa makafiri - ambayo hapana awezaye kuizuia -
🎧 Sikiliza

📜 Aya 1-4 — Al-Ma'arij

1سَأَلَ سَآئِلُۢ بِعَذَابٍ وَاقِعٍ 
Muulizaji aliuliza juu ya adhabu itakayo tokea,
2لِّلۡكَٰفِرِينَ لَيۡسَ لَهُۥ دَافِعٌ 
Kwa makafiri - ambayo hapana awezaye kuizuia -
3مِّنَ ٱللَّهِ ذِي ٱلۡمَعَارِجِ 
Kutoka kwa Mwenyezi Mungu Mwenye mbingu za daraja.
4تَعۡرُجُ ٱلۡمَلَٰٓئِكَةُ وَٱلرُّوحُ إِلَيۡهِ فِي يَوۡمٍ كَانَ مِقۡدَارُهُۥ خَمۡسِينَ أَلۡفَ سَنَةٍ 
Malaika na Roho hupanda kwendea kwake katika siku ambayo kadiri yake ni miaka khamsini elfu!
Al-Ma'arijFaharasa ya Qurani
44Aya
MakkaRevelation
2Aya

Tafsiri — Al-Ma'arij 2

Sura Aya 2/44 — Al-Ma'arij المعارج (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Ma'arij Sikiliza, Al-Ma'arij Tafsiri, Al-Ma'arij mp3, Al-Ma'arij pdf. Aya 1–4. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema