Al-Ma'arij · 23/44
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Ma'arij
الَّذِينَ هُمْ عَلَىٰ صَلَاتِهِمْ دَائِمُونَ ۝٢٣
Allazeena hum `alaa Salaatihim daaa`imoon
📖 Kwa Kiswahili
Ambao wanadumisha Sala zao,

🎧 Sikiliza


📜 Aya 21-25 — Al-Ma'arij

21وَإِذَا مَسَّهُ الْخَيْرُ مَنُوعًا
Na inapo mgusa kheri huizuilia.
22إِلَّا الْمُصَلِّينَ
Isipo kuwa wanao sali,
23الَّذِينَ هُمْ عَلَىٰ صَلَاتِهِمْ دَائِمُونَ
Ambao wanadumisha Sala zao,
24وَالَّذِينَ فِي أَمْوَالِهِمْ حَقٌّ مَّعْلُومٌ
Na ambao katika mali yao iko haki maalumu
25لِّلسَّائِلِ وَالْمَحْرُومِ
Kwa mwenye kuomba na anaye jizuilia kuomba;
Al-Ma'arijFaharasa ya Qurani
44Aya
MakkaRevelation
23Aya

Tafsiri — Al-Ma'arij 23

Sura Al-Ma'arij Aya 23 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Ambao wanadumisha Sala zao,

Sura Aya 23/44 — Al-Ma'arij المعارج (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Ma'arij Sikiliza, Al-Ma'arij Tafsiri, Al-Ma'arij mp3, Al-Ma'arij pdf. Aya 21–25. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema