Al-Ma'arij · 24/44
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Ma'arij
وَالَّذِينَ فِي أَمْوَالِهِمْ حَقٌّ مَّعْلُومٌ ۝٢٤
Wallazeena feee amwaalihim haqqum ma`loom
📖 Kwa Kiswahili
Na ambao katika mali yao iko haki maalumu
🎧 Sikiliza

📜 Aya 22-26 — Al-Ma'arij

22إِلَّا الْمُصَلِّينَ
Isipo kuwa wanao sali,
23الَّذِينَ هُمْ عَلَىٰ صَلَاتِهِمْ دَائِمُونَ
Ambao wanadumisha Sala zao,
24وَالَّذِينَ فِي أَمْوَالِهِمْ حَقٌّ مَّعْلُومٌ
Na ambao katika mali yao iko haki maalumu
25لِّلسَّائِلِ وَالْمَحْرُومِ
Kwa mwenye kuomba na anaye jizuilia kuomba;
26وَالَّذِينَ يُصَدِّقُونَ بِيَوْمِ الدِّينِ
Na ambao wanaisadiki Siku ya Malipo,
Al-Ma'arijFaharasa ya Qurani
44Aya
MakkaRevelation
24Aya

Tafsiri — Al-Ma'arij 24

Sura Al-Ma'arij Aya 24 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na ambao katika mali yao iko haki maalumu

Sura Aya 24/44 — Al-Ma'arij المعارج (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Ma'arij Sikiliza, Al-Ma'arij Tafsiri, Al-Ma'arij mp3, Al-Ma'arij pdf. Aya 22–26. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema