Al-Ma'arij · 27/44
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Ma'arij
وَالَّذِينَ هُم مِّنْ عَذَابِ رَبِّهِم مُّشْفِقُونَ ۝٢٧
Wallazeena hum min `azaabi Rabbihim mushfiqoon
📖 Kwa Kiswahili
Na ambao wanaiogopa adhabu itokayo kwa Mola wao Mlezi.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 25-29 — Al-Ma'arij

25لِّلسَّائِلِ وَالْمَحْرُومِ
Kwa mwenye kuomba na anaye jizuilia kuomba;
26وَالَّذِينَ يُصَدِّقُونَ بِيَوْمِ الدِّينِ
Na ambao wanaisadiki Siku ya Malipo,
27وَالَّذِينَ هُم مِّنْ عَذَابِ رَبِّهِم مُّشْفِقُونَ
Na ambao wanaiogopa adhabu itokayo kwa Mola wao Mlezi.
28إِنَّ عَذَابَ رَبِّهِمْ غَيْرُ مَأْمُونٍ
Hakika adhabu ya Mola wao Mlezi si ya kuaminika nayo.
29وَالَّذِينَ هُمْ لِفُرُوجِهِمْ حَافِظُونَ
Na ambao wanahifadhi tupu zao.
Al-Ma'arijFaharasa ya Qurani
44Aya
MakkaRevelation
27Aya

Tafsiri — Al-Ma'arij 27

Sura Al-Ma'arij Aya 27 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na ambao wanaiogopa adhabu itokayo kwa Mola wao Mlezi.

Sura Aya 27/44 — Al-Ma'arij المعارج (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Ma'arij Sikiliza, Al-Ma'arij Tafsiri, Al-Ma'arij mp3, Al-Ma'arij pdf. Aya 25–29. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema