Al-Ma'arij · 28/44
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Ma'arij
إِنَّ عَذَابَ رَبِّهِمْ غَيْرُ مَأْمُونٍ ۝٢٨
Inna `azaaba Rabbihim ghairu maamoon
📖 Kwa Kiswahili
Hakika adhabu ya Mola wao Mlezi si ya kuaminika nayo.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 26-30 — Al-Ma'arij

26وَالَّذِينَ يُصَدِّقُونَ بِيَوْمِ الدِّينِ
Na ambao wanaisadiki Siku ya Malipo,
27وَالَّذِينَ هُم مِّنْ عَذَابِ رَبِّهِم مُّشْفِقُونَ
Na ambao wanaiogopa adhabu itokayo kwa Mola wao Mlezi.
28إِنَّ عَذَابَ رَبِّهِمْ غَيْرُ مَأْمُونٍ
Hakika adhabu ya Mola wao Mlezi si ya kuaminika nayo.
29وَالَّذِينَ هُمْ لِفُرُوجِهِمْ حَافِظُونَ
Na ambao wanahifadhi tupu zao.
30إِلَّا عَلَىٰ أَزْوَاجِهِمْ أَوْ مَا مَلَكَتْ أَيْمَانُهُمْ فَإِنَّهُمْ غَيْرُ مَلُومِينَ
Isipo kuwa kwa wake zao, au iliyo wamiliki mikono yao ya kuume, basi hao hawalaumiwi -
Al-Ma'arijFaharasa ya Qurani
44Aya
MakkaRevelation
28Aya

Tafsiri — Al-Ma'arij 28

Sura Al-Ma'arij Aya 28 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Hakika adhabu ya Mola wao Mlezi si ya kuaminika nayo.

Sura Aya 28/44 — Al-Ma'arij المعارج (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Ma'arij Sikiliza, Al-Ma'arij Tafsiri, Al-Ma'arij mp3, Al-Ma'arij pdf. Aya 26–30. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema