Nuh · 9/28
Tafsiri Uandishi wa sauti — Nuh
ثُمَّ إِنِّي أَعْلَنتُ لَهُمْ وَأَسْرَرْتُ لَهُمْ إِسْرَارًا ۝٩
Summaa inneee a`lantu lahum wa asrartu lahum israaraa
📖 Kwa Kiswahili
Kisha nikawatangazia kwa kelele, tena nikasema nao kwa siri.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 7-11 — Nuh

7وَإِنِّي كُلَّمَا دَعَوْتُهُمْ لِتَغْفِرَ لَهُمْ جَعَلُوا أَصَابِعَهُمْ فِي آذَانِهِمْ وَاسْتَغْشَوْا ثِيَابَهُمْ وَأَصَرُّوا وَاسْتَكْبَرُوا اسْتِكْبَارًا
Na hakika mimi kila nilipo waita ili upate kuwaghufiria, walijiziba masikio yao kwa vidole vyao, na wakajigubika nguo zao, na wakakamia, na wakatakabari vikubwa mno!
8ثُمَّ إِنِّي دَعَوْتُهُمْ جِهَارًا
Tena niliwaita kwa uwazi,
9ثُمَّ إِنِّي أَعْلَنتُ لَهُمْ وَأَسْرَرْتُ لَهُمْ إِسْرَارًا
Kisha nikawatangazia kwa kelele, tena nikasema nao kwa siri.
10فَقُلْتُ اسْتَغْفِرُوا رَبَّكُمْ إِنَّهُ كَانَ غَفَّارًا
Nikasema: Ombeni msamaha kwa Mola wenu Mlezi; hakika Yeye ni Mwingi wa kusamehe.
11يُرْسِلِ السَّمَاءَ عَلَيْكُم مِّدْرَارًا
Atakuleteeni mvua inyeshe mfululizo.
NuhFaharasa ya Qurani
28Aya
MakkaRevelation
9Aya

Tafsiri — Nuh 9

Sura Nuh Aya 9 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Kisha nikawatangazia kwa kelele, tena nikasema nao kwa siri.

Sura Aya 9/28 — Nuh نوح (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Nuh Sikiliza, Nuh Tafsiri, Nuh mp3, Nuh pdf. Aya 7–11. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema