Nuh · 19/28
Tafsiri Uandishi wa sauti — Nuh
وَاللَّهُ جَعَلَ لَكُمُ الْأَرْضَ بِسَاطًا ۝١٩
Wallaahu ja`ala lakumul arda bisaataa
📖 Kwa Kiswahili
Na Mwenyezi Mungu amekukunjulieni ardhi kama busati.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 17-21 — Nuh

17وَاللَّهُ أَنبَتَكُم مِّنَ الْأَرْضِ نَبَاتًا
Na Mwenyezi Mungu amekuotesheni katika ardhi kama mimea.
18ثُمَّ يُعِيدُكُمْ فِيهَا وَيُخْرِجُكُمْ إِخْرَاجًا
Kisha atakurudsheni humo na atakutoeni tena.
19وَاللَّهُ جَعَلَ لَكُمُ الْأَرْضَ بِسَاطًا
Na Mwenyezi Mungu amekukunjulieni ardhi kama busati.
20لِّتَسْلُكُوا مِنْهَا سُبُلًا فِجَاجًا
Ili mtembee humo katika njia zilizo pana.
21قَالَ نُوحٌ رَّبِّ إِنَّهُمْ عَصَوْنِي وَاتَّبَعُوا مَن لَّمْ يَزِدْهُ مَالُهُ وَوَلَدُهُ إِلَّا خَسَارًا
Nuh'u akasema: Mola wangu Mlezi! Hakika hao wameniasi, na wamemfuata yule ambaye mali yake na wanawe hawakumzidishia ila khasara.
NuhFaharasa ya Qurani
28Aya
MakkaRevelation
19Aya

Tafsiri — Nuh 19

Sura Nuh Aya 19 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na Mwenyezi Mungu amekukunjulieni ardhi kama busati.

Sura Aya 19/28 — Nuh نوح (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Nuh Sikiliza, Nuh Tafsiri, Nuh mp3, Nuh pdf. Aya 17–21. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema