Nuh · 20/28
Tafsiri Uandishi wa sauti — Nuh
لِّتَسْلُكُوا مِنْهَا سُبُلًا فِجَاجًا ۝٢٠
Litaslukoo minhaa subulan fijaajaa
📖 Kwa Kiswahili
Ili mtembee humo katika njia zilizo pana.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 18-22 — Nuh

18ثُمَّ يُعِيدُكُمْ فِيهَا وَيُخْرِجُكُمْ إِخْرَاجًا
Kisha atakurudsheni humo na atakutoeni tena.
19وَاللَّهُ جَعَلَ لَكُمُ الْأَرْضَ بِسَاطًا
Na Mwenyezi Mungu amekukunjulieni ardhi kama busati.
20لِّتَسْلُكُوا مِنْهَا سُبُلًا فِجَاجًا
Ili mtembee humo katika njia zilizo pana.
21قَالَ نُوحٌ رَّبِّ إِنَّهُمْ عَصَوْنِي وَاتَّبَعُوا مَن لَّمْ يَزِدْهُ مَالُهُ وَوَلَدُهُ إِلَّا خَسَارًا
Nuh'u akasema: Mola wangu Mlezi! Hakika hao wameniasi, na wamemfuata yule ambaye mali yake na wanawe hawakumzidishia ila khasara.
22وَمَكَرُوا مَكْرًا كُبَّارًا
Na wakapanga vitimbi vikubwa.
NuhFaharasa ya Qurani
28Aya
MakkaRevelation
20Aya

Tafsiri — Nuh 20

Sura Nuh Aya 20 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Ili mtembee humo katika njia zilizo pana.

Sura Aya 20/28 — Nuh نوح (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Nuh Sikiliza, Nuh Tafsiri, Nuh mp3, Nuh pdf. Aya 18–22. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema