Al-Muddaththir · 29/56
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Muddaththir
لَوَّاحَةٌ لِّلْبَشَرِ ۝٢٩
Lawwaahatul lilbashar
📖 Kwa Kiswahili
Unababua ngozi iwe nyeusi.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 27-31 — Al-Muddaththir

27وَمَا أَدْرَاكَ مَا سَقَرُ
Na nini kitakujuulisha ni nini huo Moto wa Saqar?
28لَا تُبْقِي وَلَا تَذَرُ
Haubakishi wala hausazi.
29لَوَّاحَةٌ لِّلْبَشَرِ
Unababua ngozi iwe nyeusi.
30عَلَيْهَا تِسْعَةَ عَشَرَ
Juu yake wapo kumi na tisa.
31وَمَا جَعَلْنَا أَصْحَابَ النَّارِ إِلَّا مَلَائِكَةً ۙ وَمَا جَعَلْنَا عِدَّتَهُمْ إِلَّا فِتْنَةً لِّلَّذِينَ كَفَرُوا لِيَسْتَيْقِنَ الَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ وَيَزْدَادَ الَّذِينَ آمَنُوا إِيمَانًا ۙ وَلَا يَرْتَابَ الَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ وَالْمُؤْمِنُونَ ۙ وَلِيَقُولَ الَّذِينَ فِي قُلُوبِهِم مَّرَضٌ وَالْكَافِرُونَ مَاذَا أَرَادَ اللَّهُ بِهَٰذَا مَثَلًا ۚ كَذَٰلِكَ يُضِلُّ اللَّهُ مَن يَشَاءُ وَيَهْدِي مَن يَشَاءُ ۚ وَمَا يَعْلَمُ جُنُودَ رَبِّكَ إِلَّا هُوَ ۚ وَمَا هِيَ إِلَّا ذِكْرَىٰ لِلْبَشَرِ
Na hatukuwafanya walinzi wa Motoni ila ni Malaika, wala hatukuifanya idadi yao hiyo ila kuwatatanisha walio kufuru, wapate kuwa na yakini walio pewa Kitabu, na wazidi Imani wale walio amini, wala wasiwe na shaka walio pewa Kitabu na Waumini, na wapate kusema wenye maradhi katika nyoyo zao na makafiri: Mwenyezi Mungu amekusudia nini kwa mfano huu? Ndio kama hivyo Mwenyezi Mungu humwacha apotee amtakaye, na humwongoa amtakaye. Na hapana yeyote anaye jua majeshi ya Mola wako Mlezi ila Yeye tu. Na haya si chochote ila ni ukumbusho kwa binaadamu.
Al-MuddaththirFaharasa ya Qurani
56Aya
MakkaRevelation
29Aya

Tafsiri — Al-Muddaththir 29

Sura Al-Muddaththir Aya 29 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Unababua ngozi iwe nyeusi.

Sura Aya 29/56 — Al-Muddaththir المدثر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Muddaththir Sikiliza, Al-Muddaththir Tafsiri, Al-Muddaththir mp3, Al-Muddaththir pdf. Aya 27–31. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema