Al-Insan · 12/31
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Insan
وَجَزَاهُم بِمَا صَبَرُوا جَنَّةً وَحَرِيرًا ۝١٢
Wa jazaahum bimaa sabaroo janatanw wa hareeraa
📖 Kwa Kiswahili
Na atawajazi Bustani za Peponi na maguo ya hariri kwa vile walivyo subiri.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 10-14 — Al-Insan

10إِنَّا نَخَافُ مِن رَّبِّنَا يَوْمًا عَبُوسًا قَمْطَرِيرًا
Hakika sisi tunaiogopa kwa Mola wetu Mlezi hiyo siku yenye shida na taabu.
11فَوَقَاهُمُ اللَّهُ شَرَّ ذَٰلِكَ الْيَوْمِ وَلَقَّاهُمْ نَضْرَةً وَسُرُورًا
Basi Mwenyezi Mungu atawalinda na shari ya siku hiyo, na atawakutanisha na raha na furaha.
12وَجَزَاهُم بِمَا صَبَرُوا جَنَّةً وَحَرِيرًا
Na atawajazi Bustani za Peponi na maguo ya hariri kwa vile walivyo subiri.
13مُّتَّكِئِينَ فِيهَا عَلَى الْأَرَائِكِ ۖ لَا يَرَوْنَ فِيهَا شَمْسًا وَلَا زَمْهَرِيرًا
Humo wataegemea juu ya viti vya enzi, hawataona humo jua kali wala baridi kali.
14وَدَانِيَةً عَلَيْهِمْ ظِلَالُهَا وَذُلِّلَتْ قُطُوفُهَا تَذْلِيلًا
Na vivuli vyake vitakuwa karibu yao, na mashada ya matunda yataning'inia mpaka chini.
Al-InsanFaharasa ya Qurani
31Aya
MadinaRevelation
12Aya

Tafsiri — Al-Insan 12

Sura Al-Insan Aya 12 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na atawajazi Bustani za Peponi na maguo ya hariri kwa…

Sura Aya 12/31 — Al-Insan الإنسان (Madina). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Insan Sikiliza, Al-Insan Tafsiri, Al-Insan mp3, Al-Insan pdf. Aya 10–14. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema