Al-Insan · 16/31
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Insan
قَوَارِيرَ مِن فِضَّةٍ قَدَّرُوهَا تَقْدِيرًا ۝١٦
Qawaareera min fiddatin qaddaroohaa taqdeeraa
📖 Kwa Kiswahili
Vya fedha safi kama kiyoo, wamevipima kwa vipimo.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 14-18 — Al-Insan

14وَدَانِيَةً عَلَيْهِمْ ظِلَالُهَا وَذُلِّلَتْ قُطُوفُهَا تَذْلِيلًا
Na vivuli vyake vitakuwa karibu yao, na mashada ya matunda yataning'inia mpaka chini.
15وَيُطَافُ عَلَيْهِم بِآنِيَةٍ مِّن فِضَّةٍ وَأَكْوَابٍ كَانَتْ قَوَارِيرَا
Na watapitishiwa vyombo vya fedha na vikombe vya vigae,
16قَوَارِيرَ مِن فِضَّةٍ قَدَّرُوهَا تَقْدِيرًا
Vya fedha safi kama kiyoo, wamevipima kwa vipimo.
17وَيُسْقَوْنَ فِيهَا كَأْسًا كَانَ مِزَاجُهَا زَنجَبِيلًا
Na humo watanyweshwa kinywaji kilicho changanyika na tangawizi.
18عَيْنًا فِيهَا تُسَمَّىٰ سَلْسَبِيلًا
Hiyo ni chemchem iliyo humo inaitwa Salsabil.
Al-InsanFaharasa ya Qurani
31Aya
MadinaRevelation
16Aya

Tafsiri — Al-Insan 16

Sura Al-Insan Aya 16 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Vya fedha safi kama kiyoo, wamevipima kwa vipimo.

Sura Aya 16/31 — Al-Insan الإنسان (Madina). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Insan Sikiliza, Al-Insan Tafsiri, Al-Insan mp3, Al-Insan pdf. Aya 14–18. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema