Al-Insan · 17/31
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Insan
وَيُسْقَوْنَ فِيهَا كَأْسًا كَانَ مِزَاجُهَا زَنجَبِيلًا ۝١٧
Wa yusawna feehaa kaasan kaana mizaajuhaa zanjabeelaa
📖 Kwa Kiswahili
Na humo watanyweshwa kinywaji kilicho changanyika na tangawizi.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 15-19 — Al-Insan

15وَيُطَافُ عَلَيْهِم بِآنِيَةٍ مِّن فِضَّةٍ وَأَكْوَابٍ كَانَتْ قَوَارِيرَا
Na watapitishiwa vyombo vya fedha na vikombe vya vigae,
16قَوَارِيرَ مِن فِضَّةٍ قَدَّرُوهَا تَقْدِيرًا
Vya fedha safi kama kiyoo, wamevipima kwa vipimo.
17وَيُسْقَوْنَ فِيهَا كَأْسًا كَانَ مِزَاجُهَا زَنجَبِيلًا
Na humo watanyweshwa kinywaji kilicho changanyika na tangawizi.
18عَيْنًا فِيهَا تُسَمَّىٰ سَلْسَبِيلًا
Hiyo ni chemchem iliyo humo inaitwa Salsabil.
19۞ وَيَطُوفُ عَلَيْهِمْ وِلْدَانٌ مُّخَلَّدُونَ إِذَا رَأَيْتَهُمْ حَسِبْتَهُمْ لُؤْلُؤًا مَّنثُورًا
Na watawazungukia kuwatumikia wavulana wasio pevuka, ukiwaona utawafikiri ni lulu zilizo tawanywa.
Al-InsanFaharasa ya Qurani
31Aya
MadinaRevelation
17Aya

Tafsiri — Al-Insan 17

Sura Al-Insan Aya 17 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na humo watanyweshwa kinywaji kilicho changanyika na tangawizi.

Sura Aya 17/31 — Al-Insan الإنسان (Madina). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Insan Sikiliza, Al-Insan Tafsiri, Al-Insan mp3, Al-Insan pdf. Aya 15–19. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema