An-Nazi'at · 23/46
Tafsiri Uandishi wa sauti — An-Nazi'at
فَحَشَرَ فَنَادَىٰ ۝٢٣
Fa hashara fanada
📖 Kwa Kiswahili
Akakusanya watu akanadi.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 21-25 — An-Nazi'at

21فَكَذَّبَ وَعَصَىٰ
Lakini aliikadhibisha na akaasi.
22ثُمَّ أَدْبَرَ يَسْعَىٰ
Kisha alirudi nyuma, akaingia kufanya juhudi.
23فَحَشَرَ فَنَادَىٰ
Akakusanya watu akanadi.
24فَقَالَ أَنَا رَبُّكُمُ الْأَعْلَىٰ
Akasema: Mimi ndiye Mola wenu Mlezi mkuu kabisa.
25فَأَخَذَهُ اللَّهُ نَكَالَ الْآخِرَةِ وَالْأُولَىٰ
Basi hapo Mwenyezi Mungu akamshika kumuadhibu kwa la mwisho na la mwanzo.
An-Nazi'atFaharasa ya Qurani
46Aya
MakkaRevelation
23Aya

Tafsiri — An-Nazi'at 23

Sura An-Nazi'at Aya 23 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Akakusanya watu akanadi.

Sura Aya 23/46 — An-Nazi'at النازعات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: An-Nazi'at Sikiliza, An-Nazi'at Tafsiri, An-Nazi'at mp3, An-Nazi'at pdf. Aya 21–25. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema