An-Nazi'at · 39/46
Tafsiri Uandishi wa sauti — An-Nazi'at
فَإِنَّ الْجَحِيمَ هِيَ الْمَأْوَىٰ ۝٣٩
Fa innal jaheema hiyal maawaa
📖 Kwa Kiswahili
Kwa hakika Jahannamu ndiyo makaazi yake!

🎧 Sikiliza


📜 Aya 37-41 — An-Nazi'at

37فَأَمَّا مَن طَغَىٰ
Basi ama yule aliye zidi ujeuri,
38وَآثَرَ الْحَيَاةَ الدُّنْيَا
Na akakhiari maisha ya dunia,
39فَإِنَّ الْجَحِيمَ هِيَ الْمَأْوَىٰ
Kwa hakika Jahannamu ndiyo makaazi yake!
40وَأَمَّا مَنْ خَافَ مَقَامَ رَبِّهِ وَنَهَى النَّفْسَ عَنِ الْهَوَىٰ
Na ama yule anaye ogopa kusimamishwa mbele ya Mola wake Mlezi, na akajizuilia nafsi yake na matamanio,
41فَإِنَّ الْجَنَّةَ هِيَ الْمَأْوَىٰ
Basi huyo, Pepo itakuwa ndiyo makaazi yake!
An-Nazi'atFaharasa ya Qurani
46Aya
MakkaRevelation
39Aya

Tafsiri — An-Nazi'at 39

Sura An-Nazi'at Aya 39 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Kwa hakika Jahannamu ndiyo makaazi yake!

Sura Aya 39/46 — An-Nazi'at النازعات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: An-Nazi'at Sikiliza, An-Nazi'at Tafsiri, An-Nazi'at mp3, An-Nazi'at pdf. Aya 37–41. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema