An-Nazi'at · 38/46
Tafsiri Uandishi wa sauti — An-Nazi'at
وَآثَرَ الْحَيَاةَ الدُّنْيَا ۝٣٨
Wa aasaral hayaatad dunyaa
📖 Kwa Kiswahili
Na akakhiari maisha ya dunia,
🎧 Sikiliza

📜 Aya 36-40 — An-Nazi'at

36وَبُرِّزَتِ الْجَحِيمُ لِمَن يَرَىٰ
Na Jahannamu itadhihirishwa kwa mwenye kuona,
37فَأَمَّا مَن طَغَىٰ
Basi ama yule aliye zidi ujeuri,
38وَآثَرَ الْحَيَاةَ الدُّنْيَا
Na akakhiari maisha ya dunia,
39فَإِنَّ الْجَحِيمَ هِيَ الْمَأْوَىٰ
Kwa hakika Jahannamu ndiyo makaazi yake!
40وَأَمَّا مَنْ خَافَ مَقَامَ رَبِّهِ وَنَهَى النَّفْسَ عَنِ الْهَوَىٰ
Na ama yule anaye ogopa kusimamishwa mbele ya Mola wake Mlezi, na akajizuilia nafsi yake na matamanio,
An-Nazi'atFaharasa ya Qurani
46Aya
MakkaRevelation
38Aya

Tafsiri — An-Nazi'at 38

Sura An-Nazi'at Aya 38 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na akakhiari maisha ya dunia,

Sura Aya 38/46 — An-Nazi'at النازعات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: An-Nazi'at Sikiliza, An-Nazi'at Tafsiri, An-Nazi'at mp3, An-Nazi'at pdf. Aya 36–40. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema