An-Nazi'at · 40/46
Tafsiri Uandishi wa sauti — An-Nazi'at
وَأَمَّا مَنْ خَافَ مَقَامَ رَبِّهِ وَنَهَى النَّفْسَ عَنِ الْهَوَىٰ ۝٤٠
Wa ammaa man khaafa maqaama Rabbihee wa nahan nafsa `anil hawaa
📖 Kwa Kiswahili
Na ama yule anaye ogopa kusimamishwa mbele ya Mola wake Mlezi, na akajizuilia nafsi yake na matamanio,
🎧 Sikiliza

📜 Aya 38-42 — An-Nazi'at

38وَآثَرَ الْحَيَاةَ الدُّنْيَا
Na akakhiari maisha ya dunia,
39فَإِنَّ الْجَحِيمَ هِيَ الْمَأْوَىٰ
Kwa hakika Jahannamu ndiyo makaazi yake!
40وَأَمَّا مَنْ خَافَ مَقَامَ رَبِّهِ وَنَهَى النَّفْسَ عَنِ الْهَوَىٰ
Na ama yule anaye ogopa kusimamishwa mbele ya Mola wake Mlezi, na akajizuilia nafsi yake na matamanio,
41فَإِنَّ الْجَنَّةَ هِيَ الْمَأْوَىٰ
Basi huyo, Pepo itakuwa ndiyo makaazi yake!
42يَسْأَلُونَكَ عَنِ السَّاعَةِ أَيَّانَ مُرْسَاهَا
Wanakuuliza Saa (ya Kiyama) itakuwa lini?
An-Nazi'atFaharasa ya Qurani
46Aya
MakkaRevelation
40Aya

Tafsiri — An-Nazi'at 40

Sura An-Nazi'at Aya 40 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na ama yule anaye ogopa kusimamishwa mbele ya Mola wake…

Sura Aya 40/46 — An-Nazi'at النازعات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: An-Nazi'at Sikiliza, An-Nazi'at Tafsiri, An-Nazi'at mp3, An-Nazi'at pdf. Aya 38–42. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema