At-Takwir · 5/29
Tafsiri Uandishi wa sauti — At-Takwir
وَإِذَا الْوُحُوشُ حُشِرَتْ ۝٥
Wa izal wuhooshu hushirat
📖 Kwa Kiswahili
Na wanyama wa mwituni wakakusanywa,
🎧 Sikiliza

📜 Aya 3-7 — At-Takwir

3وَإِذَا الْجِبَالُ سُيِّرَتْ
Na milima ikaondolewa,
4وَإِذَا الْعِشَارُ عُطِّلَتْ
Na ngamia wenye mimba pevu watakapo achwa wasishughulikiwe,
5وَإِذَا الْوُحُوشُ حُشِرَتْ
Na wanyama wa mwituni wakakusanywa,
6وَإِذَا الْبِحَارُ سُجِّرَتْ
Na bahari zikawaka moto,
7وَإِذَا النُّفُوسُ زُوِّجَتْ
Na nafsi zikaunganishwa,
At-TakwirFaharasa ya Qurani
29Aya
MakkaRevelation
5Aya

Tafsiri — At-Takwir 5

Sura At-Takwir Aya 5 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na wanyama wa mwituni wakakusanywa,

Sura Aya 5/29 — At-Takwir التكوير (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: At-Takwir Sikiliza, At-Takwir Tafsiri, At-Takwir mp3, At-Takwir pdf. Aya 3–7. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema