Al-Mutaffifin · 6/36
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Mutaffifin
يَوْمَ يَقُومُ النَّاسُ لِرَبِّ الْعَالَمِينَ ۝٦
Yawma yaqoomun naasu li Rabbil `aalameen
📖 Kwa Kiswahili
Siku watapo msimamia watu Mola Mlezi wa walimwengu wote?

🎧 Sikiliza


📜 Aya 4-8 — Al-Mutaffifin

4أَلَا يَظُنُّ أُولَٰئِكَ أَنَّهُم مَّبْعُوثُونَ
Kwani hawadhani hao kwamba watafufuliwa
5لِيَوْمٍ عَظِيمٍ
Katika Siku iliyo kuu,
6يَوْمَ يَقُومُ النَّاسُ لِرَبِّ الْعَالَمِينَ
Siku watapo msimamia watu Mola Mlezi wa walimwengu wote?
7كَلَّا إِنَّ كِتَابَ الْفُجَّارِ لَفِي سِجِّينٍ
Hasha! Hakika maandiko ya wakosefu bila ya shaka yamo katika Sijjin.
8وَمَا أَدْرَاكَ مَا سِجِّينٌ
Unajua nini Sijjin?
Al-MutaffifinFaharasa ya Qurani
36Aya
MakkaRevelation
6Aya

Tafsiri — Al-Mutaffifin 6

Sura Al-Mutaffifin Aya 6 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Siku watapo msimamia watu Mola Mlezi wa walimwengu wote?

Sura Aya 6/36 — Al-Mutaffifin المطففين (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Mutaffifin Sikiliza, Al-Mutaffifin Tafsiri, Al-Mutaffifin mp3, Al-Mutaffifin pdf. Aya 4–8. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema