Al-Fajr · 6/30
Tafsiri Uandishi wa sauti — Sura Al-Fajr
أَلَمْ تَرَ كَيْفَ فَعَلَ رَبُّكَ بِعَادٍ ۝٦
Alam tara kaifa fa`ala rabbuka bi`aad
📖 Kwa Kiswahili
Kwani hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyo wafanya kina A'di?

🎧 Sikiliza


📜 Aya 4-8 — Sura Al-Fajr

4وَاللَّيْلِ إِذَا يَسْرِ
Na kwa usiku unapo pita,
5هَلْ فِي ذَٰلِكَ قَسَمٌ لِّذِي حِجْرٍ
Je! Hapana katika haya kiapo kwa mwenye akili?
6أَلَمْ تَرَ كَيْفَ فَعَلَ رَبُّكَ بِعَادٍ
Kwani hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyo wafanya kina A'di?
7إِرَمَ ذَاتِ الْعِمَادِ
Wa Iram, wenye majumba marefu?
8الَّتِي لَمْ يُخْلَقْ مِثْلُهَا فِي الْبِلَادِ
Ambao haukuumbwa mfano wake katika nchi?
Al-FajrFaharasa ya Qurani
30Aya
MakkaRevelation
6Aya

Tafsiri — Al-Fajr 6

Sura Al-Fajr Aya 6 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Kwani hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyo wafanya kina A'di?

Sura Aya 6/30 — Sura Al-Fajr الفجر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Sura Al-Fajr Sikiliza, Sura Al-Fajr Tafsiri, Sura Al-Fajr mp3, Sura Al-Fajr pdf. Aya 4–8. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Wednesday, September 9, 2026

Usitusahau katika dua zako njema