Al-Fajr · 7/30
Tafsiri Uandishi wa sauti — Sura Al-Fajr
إِرَمَ ذَاتِ الْعِمَادِ ۝٧
Iramaa zaatil `imaad
📖 Kwa Kiswahili
Wa Iram, wenye majumba marefu?

🎧 Sikiliza


📜 Aya 5-9 — Sura Al-Fajr

5هَلْ فِي ذَٰلِكَ قَسَمٌ لِّذِي حِجْرٍ
Je! Hapana katika haya kiapo kwa mwenye akili?
6أَلَمْ تَرَ كَيْفَ فَعَلَ رَبُّكَ بِعَادٍ
Kwani hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyo wafanya kina A'di?
7إِرَمَ ذَاتِ الْعِمَادِ
Wa Iram, wenye majumba marefu?
8الَّتِي لَمْ يُخْلَقْ مِثْلُهَا فِي الْبِلَادِ
Ambao haukuumbwa mfano wake katika nchi?
9وَثَمُودَ الَّذِينَ جَابُوا الصَّخْرَ بِالْوَادِ
Na Thamudi walio chonga majabali huko bondeni?
Al-FajrFaharasa ya Qurani
30Aya
MakkaRevelation
7Aya

Tafsiri — Al-Fajr 7

Sura Al-Fajr Aya 7 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Wa Iram, wenye majumba marefu?

Sura Aya 7/30 — Sura Al-Fajr الفجر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Sura Al-Fajr Sikiliza, Sura Al-Fajr Tafsiri, Sura Al-Fajr mp3, Sura Al-Fajr pdf. Aya 5–9. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Monday, September 7, 2026

Usitusahau katika dua zako njema