Taha · 9/135
Tafsiri Uandishi wa sauti — Taha
وَهَلْ أَتَاكَ حَدِيثُ مُوسَىٰ ۝٩
Wa hal ataaka hadeesu Moosa
📖 Kwa Kiswahili
Na je! Imekufikia hadithi ya Musa?
🎧 Sikiliza

📜 Aya 7-11 — Taha

7وَإِن تَجْهَرْ بِالْقَوْلِ فَإِنَّهُ يَعْلَمُ السِّرَّ وَأَخْفَى
Na ukinyanyua sauti kwa kusema... basi hakika Yeye anajua siri na duni kuliko siri.
8اللَّهُ لَا إِلَٰهَ إِلَّا هُوَ ۖ لَهُ الْأَسْمَاءُ الْحُسْنَىٰ
Mwenyezi Mungu! Hapana mungu isipo kuwa Yeye. Yeye ana majina mazuri kabisa.
9وَهَلْ أَتَاكَ حَدِيثُ مُوسَىٰ
Na je! Imekufikia hadithi ya Musa?
10إِذْ رَأَىٰ نَارًا فَقَالَ لِأَهْلِهِ امْكُثُوا إِنِّي آنَسْتُ نَارًا لَّعَلِّي آتِيكُم مِّنْهَا بِقَبَسٍ أَوْ أَجِدُ عَلَى النَّارِ هُدًى
Alipo uona moto, akawaambia watu wake: Ngojeni! Mimi nimeuona moto, huenda nikakuleteeni kijinga kutoka huo moto, au nikapata uongofu kwenye moto.
11فَلَمَّا أَتَاهَا نُودِيَ يَا مُوسَىٰ
Basi alipo ufikia akaitwa: Ewe Musa!
TahaFaharasa ya Qurani
135Aya
MakkaRevelation
9Aya

Tafsiri — Taha 9

Sura Taha Aya 9 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na je! Imekufikia hadithi ya Musa?

Sura Aya 9/135 — Taha طه (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Taha Sikiliza, Taha Tafsiri, Taha mp3, Taha pdf. Aya 7–11. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema