Sad · 54/88
Tafsiri Uandishi wa sauti — Sad
إِنَّ هَٰذَا لَرِزْقُنَا مَا لَهُ مِن نَّفَادٍ ۝٥٤
Inna haazaa larizqunaa maa lahoo min nafaad
📖 Kwa Kiswahili
Hakika hii ndiyo riziki yetu isiyo malizika.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 52-56 — Sad

52۞ وَعِندَهُمْ قَاصِرَاتُ الطَّرْفِ أَتْرَابٌ
Na pamoja nao wake zao wenye kutuliza macho, hirimu zao.
53هَٰذَا مَا تُوعَدُونَ لِيَوْمِ الْحِسَابِ
Haya ndiyo mliyo ahidiwa kwa Siku ya Hisabu.
54إِنَّ هَٰذَا لَرِزْقُنَا مَا لَهُ مِن نَّفَادٍ
Hakika hii ndiyo riziki yetu isiyo malizika.
55هَٰذَا ۚ وَإِنَّ لِلطَّاغِينَ لَشَرَّ مَآبٍ
Ndio hivi! Na hakika wenye kuasi bila ya shaka watapata marudio maovu kabisa;
56جَهَنَّمَ يَصْلَوْنَهَا فَبِئْسَ الْمِهَادُ
Nayo ni Jahannamu! Wataingia humo. Nacho hicho ni kitanda kiovu mno cha kulalia.
SadFaharasa ya Qurani
88Aya
MakkaRevelation
54Aya

Tafsiri — Sad 54

Sura Sad Aya 54 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Hakika hii ndiyo riziki yetu isiyo malizika.

Sura Aya 54/88 — Sad ص (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Sad Sikiliza, Sad Tafsiri, Sad mp3, Sad pdf. Aya 52–56. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema