Sad · 55/88
Tafsiri Uandishi wa sauti — Sad
هَٰذَا ۚ وَإِنَّ لِلطَّاغِينَ لَشَرَّ مَآبٍ ۝٥٥
Haazaa; wa inna littaagheena lasharra ma-aab
📖 Kwa Kiswahili
Ndio hivi! Na hakika wenye kuasi bila ya shaka watapata marudio maovu kabisa;
🎧 Sikiliza

📜 Aya 53-57 — Sad

53هَٰذَا مَا تُوعَدُونَ لِيَوْمِ الْحِسَابِ
Haya ndiyo mliyo ahidiwa kwa Siku ya Hisabu.
54إِنَّ هَٰذَا لَرِزْقُنَا مَا لَهُ مِن نَّفَادٍ
Hakika hii ndiyo riziki yetu isiyo malizika.
55هَٰذَا ۚ وَإِنَّ لِلطَّاغِينَ لَشَرَّ مَآبٍ
Ndio hivi! Na hakika wenye kuasi bila ya shaka watapata marudio maovu kabisa;
56جَهَنَّمَ يَصْلَوْنَهَا فَبِئْسَ الْمِهَادُ
Nayo ni Jahannamu! Wataingia humo. Nacho hicho ni kitanda kiovu mno cha kulalia.
57هَٰذَا فَلْيَذُوقُوهُ حَمِيمٌ وَغَسَّاقٌ
Ndio hivi! Basi na wayaonje maji ya moto na ya usaha!
SadFaharasa ya Qurani
88Aya
MakkaRevelation
55Aya

Tafsiri — Sad 55

Sura Sad Aya 55 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Ndio hivi! Na hakika wenye kuasi bila ya shaka watapata…

Sura Aya 55/88 — Sad ص (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Sad Sikiliza, Sad Tafsiri, Sad mp3, Sad pdf. Aya 53–57. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema