Ad-Dukhan · 31/59
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ad-Dukhan
مِن فِرْعَوْنَ ۚ إِنَّهُ كَانَ عَالِيًا مِّنَ الْمُسْرِفِينَ ۝٣١
Min Fir`awn; innahoo kaana `aaliyam minal musrifeen
📖 Kwa Kiswahili
Ya Firauni. Hakika yeye alikuwa jeuri katika wenye kupindukia mipaka.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 29-33 — Ad-Dukhan

29فَمَا بَكَتْ عَلَيْهِمُ السَّمَاءُ وَالْأَرْضُ وَمَا كَانُوا مُنظَرِينَ
La mbingu wala ardhi hazikuwalilia, wala hawakupewa muhula.
30وَلَقَدْ نَجَّيْنَا بَنِي إِسْرَائِيلَ مِنَ الْعَذَابِ الْمُهِينِ
Na bila ya shaka tuliwaokoa Wana wa Israili katika adhabu ya kuwadhalilisha,
31مِن فِرْعَوْنَ ۚ إِنَّهُ كَانَ عَالِيًا مِّنَ الْمُسْرِفِينَ
Ya Firauni. Hakika yeye alikuwa jeuri katika wenye kupindukia mipaka.
32وَلَقَدِ اخْتَرْنَاهُمْ عَلَىٰ عِلْمٍ عَلَى الْعَالَمِينَ
Na tuliwakhiari kwa ujuzi wetu kuliko walimwengu wenginewe.
33وَآتَيْنَاهُم مِّنَ الْآيَاتِ مَا فِيهِ بَلَاءٌ مُّبِينٌ
Na tukawapa katika ishara zenye majaribio yaliyo wazi.
Ad-DukhanFaharasa ya Qurani
59Aya
MakkaRevelation
31Aya

Tafsiri — Ad-Dukhan 31

Sura Ad-Dukhan Aya 31 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Ya Firauni. Hakika yeye alikuwa jeuri katika wenye kupindukia mipaka.

Sura Aya 31/59 — Ad-Dukhan الدخان (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ad-Dukhan Sikiliza, Ad-Dukhan Tafsiri, Ad-Dukhan mp3, Ad-Dukhan pdf. Aya 29–33. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema