Ad-Dukhan · 44/59
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ad-Dukhan
طَعَامُ الْأَثِيمِ ۝٤٤
Ta`aamul aseem
📖 Kwa Kiswahili
Ni chakula cha mwenye dhambi.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 42-46 — Ad-Dukhan

42إِلَّا مَن رَّحِمَ اللَّهُ ۚ إِنَّهُ هُوَ الْعَزِيزُ الرَّحِيمُ
Isipo kuwa atakaye mrehemu Mwenyezi Mungu. Hakika Yeye ndiye Mwenye nguvu, Mwenye kurehemu.
43إِنَّ شَجَرَتَ الزَّقُّومِ
Hakika Mti wa Zaqqum,
44طَعَامُ الْأَثِيمِ
Ni chakula cha mwenye dhambi.
45كَالْمُهْلِ يَغْلِي فِي الْبُطُونِ
Kama shaba iliyo yayushwa, hutokota matumboni
46كَغَلْيِ الْحَمِيمِ
Kama kutokota kwa maji ya moto.
Ad-DukhanFaharasa ya Qurani
59Aya
MakkaRevelation
44Aya

Tafsiri — Ad-Dukhan 44

Sura Ad-Dukhan Aya 44 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Ni chakula cha mwenye dhambi.

Sura Aya 44/59 — Ad-Dukhan الدخان (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ad-Dukhan Sikiliza, Ad-Dukhan Tafsiri, Ad-Dukhan mp3, Ad-Dukhan pdf. Aya 42–46. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema