Adh-Dhariyat · 33/60
Tafsiri Uandishi wa sauti — Adh-Dhariyat
لِنُرْسِلَ عَلَيْهِمْ حِجَارَةً مِّن طِينٍ ۝٣٣
Linursila `alaihim hijaa ratam min teen
📖 Kwa Kiswahili
Tuwatupie mawe ya udongo,
🎧 Sikiliza

📜 Aya 31-35 — Adh-Dhariyat

31۞ قَالَ فَمَا خَطْبُكُمْ أَيُّهَا الْمُرْسَلُونَ
AKASEMA: Basi ujumbe wenu ni nini, enyi mlio tumwa?
32قَالُوا إِنَّا أُرْسِلْنَا إِلَىٰ قَوْمٍ مُّجْرِمِينَ
Wakasema: Hakika sisi tumetumwa kwa watu wakosefu,
33لِنُرْسِلَ عَلَيْهِمْ حِجَارَةً مِّن طِينٍ
Tuwatupie mawe ya udongo,
34مُّسَوَّمَةً عِندَ رَبِّكَ لِلْمُسْرِفِينَ
Yaliyo tiwa alama kutoka kwa Mola wako Mlezi kwa ajili ya wanao pindukia mipaka.
35فَأَخْرَجْنَا مَن كَانَ فِيهَا مِنَ الْمُؤْمِنِينَ
Kwa hivyo tutawatoa katika hao wale walio amini.
Adh-DhariyatFaharasa ya Qurani
60Aya
MakkaRevelation
33Aya

Tafsiri — Adh-Dhariyat 33

Sura Adh-Dhariyat Aya 33 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Tuwatupie mawe ya udongo,

Sura Aya 33/60 — Adh-Dhariyat الذاريات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Adh-Dhariyat Sikiliza, Adh-Dhariyat Tafsiri, Adh-Dhariyat mp3, Adh-Dhariyat pdf. Aya 31–35. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema