Adh-Dhariyat · 34/60
Tafsiri Uandishi wa sauti — Adh-Dhariyat
مُّسَوَّمَةً عِندَ رَبِّكَ لِلْمُسْرِفِينَ ۝٣٤
Musawwamatan `inda rabbika lilmusrifeen
📖 Kwa Kiswahili
Yaliyo tiwa alama kutoka kwa Mola wako Mlezi kwa ajili ya wanao pindukia mipaka.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 32-36 — Adh-Dhariyat

32قَالُوا إِنَّا أُرْسِلْنَا إِلَىٰ قَوْمٍ مُّجْرِمِينَ
Wakasema: Hakika sisi tumetumwa kwa watu wakosefu,
33لِنُرْسِلَ عَلَيْهِمْ حِجَارَةً مِّن طِينٍ
Tuwatupie mawe ya udongo,
34مُّسَوَّمَةً عِندَ رَبِّكَ لِلْمُسْرِفِينَ
Yaliyo tiwa alama kutoka kwa Mola wako Mlezi kwa ajili ya wanao pindukia mipaka.
35فَأَخْرَجْنَا مَن كَانَ فِيهَا مِنَ الْمُؤْمِنِينَ
Kwa hivyo tutawatoa katika hao wale walio amini.
36فَمَا وَجَدْنَا فِيهَا غَيْرَ بَيْتٍ مِّنَ الْمُسْلِمِينَ
Lakini hatukupata humo ila nyumba moja tu yenye Waislamu!
Adh-DhariyatFaharasa ya Qurani
60Aya
MakkaRevelation
34Aya

Tafsiri — Adh-Dhariyat 34

Sura Adh-Dhariyat Aya 34 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Yaliyo tiwa alama kutoka kwa Mola wako Mlezi kwa ajili…

Sura Aya 34/60 — Adh-Dhariyat الذاريات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Adh-Dhariyat Sikiliza, Adh-Dhariyat Tafsiri, Adh-Dhariyat mp3, Adh-Dhariyat pdf. Aya 32–36. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema