Al-Qamar · 51/55
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Qamar
وَلَقَدْ أَهْلَكْنَا أَشْيَاعَكُمْ فَهَلْ مِن مُّدَّكِرٍ ۝٥١
Wa laqad ahlaknaaa ashyaa`akum fahal mim muddakir
📖 Kwa Kiswahili
Na bila ya shaka tumekwisha waangamiza wenzenu. Lakini yupo anaye kumbuka?

🎧 Sikiliza


📜 Aya 49-53 — Al-Qamar

49إِنَّا كُلَّ شَيْءٍ خَلَقْنَاهُ بِقَدَرٍ
Kwa hakika Sisi tumekiumba kila kitu kwa kipimo.
50وَمَا أَمْرُنَا إِلَّا وَاحِدَةٌ كَلَمْحٍ بِالْبَصَرِ
Na amri yetu haikuwa ila ni moja tu, kama kupepesa jicho.
51وَلَقَدْ أَهْلَكْنَا أَشْيَاعَكُمْ فَهَلْ مِن مُّدَّكِرٍ
Na bila ya shaka tumekwisha waangamiza wenzenu. Lakini yupo anaye kumbuka?
52وَكُلُّ شَيْءٍ فَعَلُوهُ فِي الزُّبُرِ
Na kila jambo walilo lifanya limo vitabuni.
53وَكُلُّ صَغِيرٍ وَكَبِيرٍ مُّسْتَطَرٌ
Na kila kidogo na kikubwa kimeandikwa.
Al-QamarFaharasa ya Qurani
55Aya
MakkaRevelation
51Aya

Tafsiri — Al-Qamar 51

Sura Al-Qamar Aya 51 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na bila ya shaka tumekwisha waangamiza wenzenu. Lakini yupo anaye…

Sura Aya 51/55 — Al-Qamar القمر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Qamar Sikiliza, Al-Qamar Tafsiri, Al-Qamar mp3, Al-Qamar pdf. Aya 49–53. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema