Al-Qamar · 52/55
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Qamar
وَكُلُّ شَيْءٍ فَعَلُوهُ فِي الزُّبُرِ ۝٥٢
Wa kullu shai`in fa`aloohu fiz Zubur
📖 Kwa Kiswahili
Na kila jambo walilo lifanya limo vitabuni.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 50-54 — Al-Qamar

50وَمَا أَمْرُنَا إِلَّا وَاحِدَةٌ كَلَمْحٍ بِالْبَصَرِ
Na amri yetu haikuwa ila ni moja tu, kama kupepesa jicho.
51وَلَقَدْ أَهْلَكْنَا أَشْيَاعَكُمْ فَهَلْ مِن مُّدَّكِرٍ
Na bila ya shaka tumekwisha waangamiza wenzenu. Lakini yupo anaye kumbuka?
52وَكُلُّ شَيْءٍ فَعَلُوهُ فِي الزُّبُرِ
Na kila jambo walilo lifanya limo vitabuni.
53وَكُلُّ صَغِيرٍ وَكَبِيرٍ مُّسْتَطَرٌ
Na kila kidogo na kikubwa kimeandikwa.
54إِنَّ الْمُتَّقِينَ فِي جَنَّاتٍ وَنَهَرٍ
Hakika wachamngu watakuwa katika Mabustani na mito.
Al-QamarFaharasa ya Qurani
55Aya
MakkaRevelation
52Aya

Tafsiri — Al-Qamar 52

Sura Al-Qamar Aya 52 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na kila jambo walilo lifanya limo vitabuni.

Sura Aya 52/55 — Al-Qamar القمر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Qamar Sikiliza, Al-Qamar Tafsiri, Al-Qamar mp3, Al-Qamar pdf. Aya 50–54. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema