Al-Qamar · 50/55
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Qamar
وَمَا أَمْرُنَا إِلَّا وَاحِدَةٌ كَلَمْحٍ بِالْبَصَرِ ۝٥٠
Wa maaa amrunaaa illaa waahidatun kalamhim bilbasar
📖 Kwa Kiswahili
Na amri yetu haikuwa ila ni moja tu, kama kupepesa jicho.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 48-52 — Al-Qamar

48يَوْمَ يُسْحَبُونَ فِي النَّارِ عَلَىٰ وُجُوهِهِمْ ذُوقُوا مَسَّ سَقَرَ
Siku watakapo kokotwa Motoni kifudifudi waambiwe: Onjeni mguso wa Jahannamu!
49إِنَّا كُلَّ شَيْءٍ خَلَقْنَاهُ بِقَدَرٍ
Kwa hakika Sisi tumekiumba kila kitu kwa kipimo.
50وَمَا أَمْرُنَا إِلَّا وَاحِدَةٌ كَلَمْحٍ بِالْبَصَرِ
Na amri yetu haikuwa ila ni moja tu, kama kupepesa jicho.
51وَلَقَدْ أَهْلَكْنَا أَشْيَاعَكُمْ فَهَلْ مِن مُّدَّكِرٍ
Na bila ya shaka tumekwisha waangamiza wenzenu. Lakini yupo anaye kumbuka?
52وَكُلُّ شَيْءٍ فَعَلُوهُ فِي الزُّبُرِ
Na kila jambo walilo lifanya limo vitabuni.
Al-QamarFaharasa ya Qurani
55Aya
MakkaRevelation
50Aya

Tafsiri — Al-Qamar 50

Sura Al-Qamar Aya 50 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na amri yetu haikuwa ila ni moja tu, kama kupepesa…

Sura Aya 50/55 — Al-Qamar القمر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Qamar Sikiliza, Al-Qamar Tafsiri, Al-Qamar mp3, Al-Qamar pdf. Aya 48–52. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema