Ar-Rahman · 41/78
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ar-Rahman
يُعْرَفُ الْمُجْرِمُونَ بِسِيمَاهُمْ فَيُؤْخَذُ بِالنَّوَاصِي وَالْأَقْدَامِ ۝٤١
Yu`raful mujrimoona biseemaahum fa`yu`khazu binna waasi wal aqdaam
📖 Kwa Kiswahili
Watajuulikana wakosefu kwa alama zao, basi watashikwa kwa nywele zao za utosini na kwa miguu.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 39-43 — Ar-Rahman

39فَيَوْمَئِذٍ لَّا يُسْأَلُ عَن ذَنبِهِ إِنسٌ وَلَا جَانٌّ
Siku hiyo hataulizwa dhambi zake mtu wala jini.
40فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
41يُعْرَفُ الْمُجْرِمُونَ بِسِيمَاهُمْ فَيُؤْخَذُ بِالنَّوَاصِي وَالْأَقْدَامِ
Watajuulikana wakosefu kwa alama zao, basi watashikwa kwa nywele zao za utosini na kwa miguu.
42فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
43هَٰذِهِ جَهَنَّمُ الَّتِي يُكَذِّبُ بِهَا الْمُجْرِمُونَ
Hii ndiyo Jahannamu ambayo wakosefu wakiikanusha.
Ar-RahmanFaharasa ya Qurani
78Aya
MadinaRevelation
41Aya

Tafsiri — Ar-Rahman 41

Sura Ar-Rahman Aya 41 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Watajuulikana wakosefu kwa alama zao, basi watashikwa kwa nywele zao…

Sura Aya 41/78 — Ar-Rahman الرحمن (Madina). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ar-Rahman Sikiliza, Ar-Rahman Tafsiri, Ar-Rahman mp3, Ar-Rahman pdf. Aya 39–43. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema