Al-Waqi'a · 79/96
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Waqi'a
لَّا يَمَسُّهُ إِلَّا الْمُطَهَّرُونَ ۝٧٩
Laa yamassuhooo illal mutahharoon
📖 Kwa Kiswahili
Hapana akigusaye ila walio takaswa.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 77-81 — Al-Waqi'a

77إِنَّهُ لَقُرْآنٌ كَرِيمٌ
Hakika hii bila ya shaka ni Qur'ani Tukufu,
78فِي كِتَابٍ مَّكْنُونٍ
Katika Kitabu kilicho hifadhiwa.
79لَّا يَمَسُّهُ إِلَّا الْمُطَهَّرُونَ
Hapana akigusaye ila walio takaswa.
80تَنزِيلٌ مِّن رَّبِّ الْعَالَمِينَ
Ni uteremsho unao toka kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.
81أَفَبِهَٰذَا الْحَدِيثِ أَنتُم مُّدْهِنُونَ
Ni maneno haya ndiyo nyinyi mnayapuuza?
Al-Waqi'aFaharasa ya Qurani
96Aya
MakkaRevelation
79Aya

Tafsiri — Al-Waqi'a 79

Sura Al-Waqi'a Aya 79 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Hapana akigusaye ila walio takaswa.

Sura Aya 79/96 — Al-Waqi'a الواقعة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Waqi'a Sikiliza, Al-Waqi'a Tafsiri, Al-Waqi'a mp3, Al-Waqi'a pdf. Aya 77–81. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema