Al-Waqi'a · 81/96
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Waqi'a
أَفَبِهَٰذَا الْحَدِيثِ أَنتُم مُّدْهِنُونَ ۝٨١
Afabihaazal hadeesi antum mudhinoon
📖 Kwa Kiswahili
Ni maneno haya ndiyo nyinyi mnayapuuza?

🎧 Sikiliza


📜 Aya 79-83 — Al-Waqi'a

79لَّا يَمَسُّهُ إِلَّا الْمُطَهَّرُونَ
Hapana akigusaye ila walio takaswa.
80تَنزِيلٌ مِّن رَّبِّ الْعَالَمِينَ
Ni uteremsho unao toka kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.
81أَفَبِهَٰذَا الْحَدِيثِ أَنتُم مُّدْهِنُونَ
Ni maneno haya ndiyo nyinyi mnayapuuza?
82وَتَجْعَلُونَ رِزْقَكُمْ أَنَّكُمْ تُكَذِّبُونَ
Na badala ya kushukuru kwa riziki yenu mnafanya kuwa mnakadhibisha?
83فَلَوْلَا إِذَا بَلَغَتِ الْحُلْقُومَ
Yawaje basi itakapo fika roho kwenye koo,
Al-Waqi'aFaharasa ya Qurani
96Aya
MakkaRevelation
81Aya

Tafsiri — Al-Waqi'a 81

Sura Al-Waqi'a Aya 81 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Ni maneno haya ndiyo nyinyi mnayapuuza?

Sura Aya 81/96 — Al-Waqi'a الواقعة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Waqi'a Sikiliza, Al-Waqi'a Tafsiri, Al-Waqi'a mp3, Al-Waqi'a pdf. Aya 79–83. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema