Al-Qalam · 5/52
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Qalam
فَسَتُبْصِرُ وَيُبْصِرُونَ ۝٥
Fasatubsiru wa yubsiroon
📖 Kwa Kiswahili
Karibu utaona, na wao wataona,
🎧 Sikiliza

📜 Aya 3-7 — Al-Qalam

3وَإِنَّ لَكَ لَأَجْرًا غَيْرَ مَمْنُونٍ
Na kwa hakika wewe una malipo yasiyo katika.
4وَإِنَّكَ لَعَلَىٰ خُلُقٍ عَظِيمٍ
Na hakika wewe una tabia tukufu.
5فَسَتُبْصِرُ وَيُبْصِرُونَ
Karibu utaona, na wao wataona,
6بِأَييِّكُمُ الْمَفْتُونُ
Ni nani kati yenu aliye pandwa na wazimu.
7إِنَّ رَبَّكَ هُوَ أَعْلَمُ بِمَن ضَلَّ عَن سَبِيلِهِ وَهُوَ أَعْلَمُ بِالْمُهْتَدِينَ
Hakika Mola wako Mlezi ndiye Yeye ajuaye zaidi nani aliye ipotea Njia yake, na Yeye ndiye anaye wajua zaidi walio ongoka.
Al-QalamFaharasa ya Qurani
52Aya
MakkaRevelation
5Aya

Tafsiri — Al-Qalam 5

Sura Al-Qalam Aya 5 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Karibu utaona, na wao wataona,

Sura Aya 5/52 — Al-Qalam القلم (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Qalam Sikiliza, Al-Qalam Tafsiri, Al-Qalam mp3, Al-Qalam pdf. Aya 3–7. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema