Al-Haqqa · 36/52
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Haqqa
وَلَا طَعَامٌ إِلَّا مِنْ غِسْلِينٍ ۝٣٦
Wa laa ta`aamun illaa min ghisleen
📖 Kwa Kiswahili
Wala hana chakula ila usaha wa watu wa Motoni.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 34-38 — Al-Haqqa

34وَلَا يَحُضُّ عَلَىٰ طَعَامِ الْمِسْكِينِ
Wala hahimizi kulisha masikini.
35فَلَيْسَ لَهُ الْيَوْمَ هَاهُنَا حَمِيمٌ
Basi leo hapa hana jamaa wa kumwonea uchungu,
36وَلَا طَعَامٌ إِلَّا مِنْ غِسْلِينٍ
Wala hana chakula ila usaha wa watu wa Motoni.
37لَّا يَأْكُلُهُ إِلَّا الْخَاطِئُونَ
Chakula hicho hawakili ila wakosefu.
38فَلَا أُقْسِمُ بِمَا تُبْصِرُونَ
Basi naapa kwa mnavyo viona,
Al-HaqqaFaharasa ya Qurani
52Aya
MakkaRevelation
36Aya

Tafsiri — Al-Haqqa 36

Sura Al-Haqqa Aya 36 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Wala hana chakula ila usaha wa watu wa Motoni.

Sura Aya 36/52 — Al-Haqqa الحاقة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Haqqa Sikiliza, Al-Haqqa Tafsiri, Al-Haqqa mp3, Al-Haqqa pdf. Aya 34–38. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema